Monday, May 27, 2013

WAZIRI MKUU PINDA MKONI MTWARA


 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua jengo la Mahakama ya mwanzo ya Mikinda iliyochomwa moto katika vurugu zilizotokea Mjini Mtwara hivi karibuni.  Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Luteni Kanali Joseph Simbakalia. (Picha na Ofisi ya Waziri mkuu)

No comments:

Post a Comment