Saturday, May 25, 2013

SAGRA, BINTI WA ALEX MKONDA APATA KIPAIMARA

 Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Kagera, Philip Kalangi (kulia) na mkuu wa upelelezi wa mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe walikuwa miongoni mwa walioudhuria sherehe ya kumpongeza binti wa Alex Mkonda, anayeitwa Sagra.
Mtaalamu mamba mkata maji, Rweyongeza.
 Hata wajukuu wa wahaya hawakubaki nyuma, anayeonekana anajulikana kwa jina la Manyama, afisa wa jeshi la polisi wa wilaya ya Bukoba.
 Hata waandishi hawakubaki nyuma.
 Baadhi ya marafiki wa Bw. Alex Mkonda.

No comments:

Post a Comment