Sunday, January 27, 2013

PINDA USO KWA USO NA WANAHABARI

 Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Habari, Wamiliki na Wahariri wa Vyombo vya Habari wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao, kwenye makazi yake, Oysterbay jijini Dar es salaam, Januari 25, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Prince Bagenda wakati alipokutana na Wajumbe wa Baraza la Habari, Wamiliki na Wahariri  wa Vyombo vya Babari kwenye makazi yake, Oysterbay jijini Dar es salaam, Januari 25, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment