Monday, January 28, 2013

WAZIRI MKUU PINDA AANZA MKAKATI WA KUMALIZA MGOGORO MTWARA

  Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa ya Kipentekoste Mkoani Mtwara, Askofu, Chilumba akiomba  kabla ya kuanza kwa kikao kati ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda na viongozi wa madhehebu ya dini  ya Kikristo mkoani Mtwara kuhusu mgogoro wa gesi kwenye ukmbi wa VETA mjini Mtwara Januari 18, 2013. Jana Mheshimiwa Pinda alikutana na Viongozi wa dini ya Kiislam mkoani humo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  viongozi wa madhehebu  ya Kikristo kuhusu mgogoro wa gesi kwenye ukumbi wa VETA  mjini Mtwara, Januari 28, 2012.Jana Mheshimiwa Pinda  alikutana viongozi wa dini ya Kiislam. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment