Thursday, September 26, 2013

WAZIRI MKUU PINDA WILAYANI NGORONGORO

  Mke wa Waziri Mkuu,mama Tunu Pinda  akimbeba mmoja wa watoto  waliofika na wazazi wao katika Hospitali Tuele ya Wilaya ya Ngorongoro  ya Wasso iliyopo Loliondo Sepyemba 23,2013. mama Pinda alifuatana na Mheshimiwa  waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika ziara ya wilaya  ya Ngorogoro. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimian ana wananchi wa  Kijiji cha Engosero wilayani Ngorongoro  kabla ya kuzungumza nao kijijini hapo Septemba 24, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na Mganga Mkuu wa Hoapitali Teule ya Wilaya na Ngorongoro ya Wasso, Dr. Padri  Franco Manent  kabla ya kuitembelea akiwa katika ziara ya wilaya hiyo Septemba 24, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)

No comments:

Post a Comment