Monday, September 23, 2013

UFUNGUZI WA WIKI YA NENDA KWA USALAMA MKOANI KAGERA

 Wanafunzi wa shule ya kolping waliokuwa na shughuli ya kupiga tarumbeta wakati wa sherehe za maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama zilizofanyika kwenye viwanja vya kaitaba.
 Maofisa wa jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani wakijiandaa kuonyesha mambo yao kwa vitendo.


 Mkuu wa mkoa wa Kagera Kanali mstaafu Fabian Massawe wa tatu toka kushoto akipokea maandamano.
 Baadhi ya viongozi wa serikali.

 Kikosi cha zimamoto hakikubaki nyuma.



No comments:

Post a Comment