Wednesday, September 25, 2013

WAZIRI MKUU PINDA WILAYANI NGORONGORO

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisaliiana na Ambilikile Mwasapila maarufu kwa jina la Babu  wakati alipopita katika kijiji cha Samunge akilelekea Digodigo kuhutubia mkutano wa hadhara Septemba 24, 2013. Alikuwa katika  ziara ya wilaya  ya Ngorongoro . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


   Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutunia Mkutano wa hadhara katika kijijicha Digodigo wilayani  Ngorongoro  Septemba  24, 2013.  Kulia ni Mkewe Tunu na kushoto  ni Mkuu wa mkoa wa Arusha  Mulugo. (Picha na Ofisi ya wazir Mkuu)


No comments:

Post a Comment