WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Waziri Mkuu, Mstaafu, Edward 
 Lowassa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 3, 2013. 
Katikati ni waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Marekani Nchi 
aliyemaliza muda wake, Alfonso Lenhardt, Ofisisni kwake Bungeni Mjini 
Dodoma Septemba 3, 2013. Balzo huyo alikweda kuaga.
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment