Thursday, March 28, 2013

SIMBA YASHINDWA KUTAMBA BUKOBA YAFUNGWA 1-0

 Baadhi ya washabiki wakishuhudia mpambano wa soka kati ya timu ya simba na kagera sugar uliofanyika kwenye uwanja wa Kaitaba, katika mchezo huo timu ya kagera sugar iliifunga simba goli 1-0.
 Benchi la timu ya kagera sugar.

 Kocha wa timu ya simba akihaha baada ya timu hiyo kubanjuliwa goli moja na timu ya Kagera sugar kwenye uwanja wa Kaitaba.
 Baadhi ya washabiki wa soka mkoani Kagera.
Benchi la wachezaji wa Timu ya Simba.

No comments:

Post a Comment