Saturday, March 16, 2013

KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI MKOA WA KAGERA

 Mwenyekiti wa halnashauri ya wilaya ya Misenyi, William Katunzi alikuwa miongoni mwa walioudhuria kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa wa kagera.
 Baadhi ya wakuu wa wilaya mkoani kagera.
 Kanali mstaafu Issa Njiku mkuu wa wilaya ya Misenyi,anayefuata ni mkuu wa wilaya ya Bukoba , Bi. Ziporah Pangani.




 Kutoka kushoto ni mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Kagera,Bi.Costancia Buhiye, Kanali mstaafu Fabian Massawe mkuu wa mkoa wa Kagera, na katibu tawala wa mkoa wa Kagera, Nassor Mnambila.
 Massawe akihutubia.

No comments:

Post a Comment