Tuesday, March 19, 2013

KIKAO CHA KUJADILI CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WAFANYABIASHARA WANAOSAFIRISHA BIDHAA NJE YA NCHI

 Baadhi ya wajumbe wa kikao cha kujadili changamoto zinazowakabili wafanyabiashara wanaosafirisha bidhaa nje ya nchi kilichoandaliwa na wizara ya biashara na viwanda, kilifanyika kwenye ukumbi wa mkuu wa mkoa wa Kagera.

 Wajumbe wengine.
 Fikir Kisimba afisa biashara mkoani Kagera akiongea wakati wa kikao hicho.

Naibu katibu mkuu wa wizara ya viwanda na biashara Shabaan Mwinjaka akiongea wakati wa kikao hicho, aliwaeleza wafanyabiasha kuwa serikali itahakikisha inaondoa vikwazo wanavyokumbana nao wafanyabiashara wanaposafirisha mizigo.

No comments:

Post a Comment