Monday, March 25, 2013

MADIWANI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA WAENDELEA KUPINGANA NA MEYA ANATORY AMANI

 Mstahiki Meya wa manispaa ya Bukoba, Anatory Amani (kulia) ambaye madiwani wanataka ang,atuke, kushoto ni kaimu mkurugenzi mtendaji wa manispaa hiyo, Robert Kwela.
 Baadhi ya madiwani kabla ya kususia kikao wakipinga kuburuzwa na meya ambaye anadaiwa kutoa maamuzi kulingana na matakwa yake.
 Baadhi ya watendaji wa manispaa hiyo na wageni waalikwa walioudhuria kikao cha baraza la madiwani ambacho kilisusiwa.





Hali ya ukumbi baada ya madiwani kususia kikao, viti vinaonekana vikiwa wazi.

No comments:

Post a Comment