Monday, August 26, 2013

MAMBO YA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM

 Mwenyikiti wa CCM,  Rais Jakaya Kikwete akiteta na
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana  kabla ya kufungua mkutano wa
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM mjini Dodoma Agosti 26,2013. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM wakiteta nje
ya ukumbi wa CCM  wa White House mjini Dodoma Agosti 26,2013. Kutoka
kushoto ni Joyce Masunga, Raphael Chegeni na Samuel Sitta. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)


No comments:

Post a Comment