Saturday, August 17, 2013

MAADHIMIASHO YA TUKIO LA MWISHO KATIKA AWAMU YA PILI YA MBINU SHIRIKISHI ZA KUENDELEZA MASOKO YA VIAZI LISHE

 Baadhi ya maofisa mbalimbali wa serikali waliudhuria tukio hilo.

 Mambo ya ngoma aina ya Kasimbo toka Karambi wilayani Muleba.

 Msanii akifanya vitu vyake.

 Katibu tawala wa wilaya ya Bukoba, Clement Ndyamkama akiangalia maonyesho ya viazi lishe.


Katibu tawala wa wilaya ya Bukoba, Clement Ndyamkama akihutubia wakati wa maonyesho ya viazi lishe.

No comments:

Post a Comment