Monday, November 26, 2012

PHOTOS UZINDUZI WA MKOA WA KATAVI

  Mwanasiasa Mkongwe na Mbunge Mstaafu, Chrisant Majiyatanga Mzindakaya akicheza ngoma ya Uyeye katika sherehe za uzinduzi wa mkoa wa Katavi kwenye uwanja wa Kashaulili Mjini Mpanda Novemba 24, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Bilal na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakizungumza na Mbunge wa Mpanda Mjini,Said Amour Arfi  katika sherehe za uzinduzi wa mkoa wa Katavi zilizofanyika kwenye uwanja wa Kashaulili Mjini Mpanda, Novemba 24,2012. (Picha na Ofis ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment