Friday, December 20, 2013

UZINDUZI WA ALBAMU YA KAPOTIVE SINGER


KUNDI MAHIRI LA KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA, WANAKULETEA UZINDUZI WA ALBUM YAO NZURI SANA YA “ZAWADI YA KRISSMAS” SIKU YA JUMAPILI, TAR. 22/12/13, KATIKA UKUMBI WA LINAS CLUB, KUANZIA SAA 8 MCHANA HADI 1 JIONI.

UZINDUZI HUO UTAHUDHURIWA NA WAIMBAJI WA KIMATAIFA UPENDO NKONE TOKA DAR-ES-SALAAM. PAMOJA NA KWAYA ZA MT. JOHN BOSCO-VIJANA, KWAYA YA VIJANA –ELCT - KENGELE TATU, NA KWAYA YA SDA.

KIINGILIO KITAKUWA KAMA IFUATAVYO:

-        10,000 KWA MTU MMOJA
-        50,000 KWA WATU SITA (TICKET YA FAMILIA)
-        5,000 KWA WATOTO

KARIBU SANA TUWAUNGE MKONO WAIMBAJI WETU WA KAPOTIVE STAR SINGERS, KARIBU SANA TUONANE ANA KWA ANA NA DADA UPENDO NKONE. HII SI YA KUKOSA.


No comments:

Post a Comment