Friday, December 27, 2013

MATUKIO YA UBATIZO WA REVELIAN NA PATRIC

 Ernestina Mwesiga, akiwa na wajukuu zake, kulia ni Ivan Kalumuna na Kushoto ni Irene Ayesiga.
 Watoto waliobatizwa aliyevaa t shirt nyekundu Revelian Edius na aliyevaa shati la mikono mifupi ni Muumuliza, kulia ni Margareth Abella.
 Wasimamizi wa ubatizo kushoto, na kulia ni Edwin Mwesiga, kaka yao wazazi wa waliobatizwa, ubatizo ulifanyika katika kanisa la kirutheri la Katare na hafla ya kuwapongeza vijana ilifanyika Rushasha.
 Baadhi ya walioudhuria hafla fupi.
 Wazazi wa watoto waliobatizwa, kutoka kulia ni Bw. Kato na anayefuata ni mke wake, kutoka kushoto ni mwenza wake Edius Njunwa wa pili toka kwake.


No comments:

Post a Comment