Monday, December 30, 2013

MATUKIO YA TAMASHA LA IMANI NA AMANI

Baadhi ya waandishi wa habari katika mkoa wa Kagera walioudhuria tamasha la Amani na Imani lililoandaliwa na kikundi cha wasanii cha Nazareth Singer of Faith organization, lilifanyika katika ukumbi wa klabu ya usiku ya Linas.
 Baadhi ya viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini walioudhuria tamasha hilo.
 Baadhi ya viongozi wa serikali walioudhuria tamasha hilo toka kushoto ni meneja wa benki ya CRDB tawi la Bukoba, Karlo Sendwa, Januari Makamba naibu waziri mawasiliano, sayansi na teknologia, mkuu wa mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe na afisa tarafa ya Rwamishenye.

 W.asanii wa kikundi cha Kaswida toka Maruku walikuwa ni miongoni mwa vikundi vya nyimbo za dini vilivyoshirikia katika tamasha hilo.
 Kikundi cha Kaswida.

 Kundi la Nazareth Singers lililoandaa tamasha linaloongozwa na msanii maarufu John Mgango  likitumbuiza.
 Mkuu wa mkoa wa Kagera, kanali mstaafu Fabian Massawe akonyesha umahili wake.

Msanii wa nyimbo za Injili, Christina Shusho.

No comments:

Post a Comment