Tuesday, March 04, 2014

MAKONDA ASIMIKA MAKAMANDA 16 WA UVCCM MKOA WA SINGIDA.



Ø  ATAO WITO KILA MKOA UJITAMBULISHE KWA ZAO LAKE,
Ø  AWANANGA CHADEMA KUWA WAASISI WA SIASA ZA UKANJANJA.
Ø   AMPONGEZA TUNDU LISU KWA KUWA KIONGOZI MJANJA.
Ø  AKABIDHI KADI 50 KWA VIJANAWALIOJIUNGA NA CHAMA CHA MA PINDUZI (CCM) NA KUVUNA WANACHAMA WENGINE KUTOKA CHADEMA.

KatibuwaIdarayaUhamasishaji na ChipukiziwajumuiyayaUmojawaVijanawa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) ambaepianiMjumbewa Bunge Maalum la katibaNdugu Paul MakondaamefanyaziarayakikazikatikaMkoawaSingida na kusimikamakamandawateulewajumuiyayaVijanawa Kata 16 zawilayayaSingidaMjini.
Shughulihiyoyakusimikamakamanda 16 iliyofanyikaKatikaMkutanowahadharakatikauwanjawaUkomboziuliopo Kata yaMajengoSingidaMjiniilihudhuriwa na mamiayawananchiambaowalijitokezakumsikilizakiongozihuyowaJumuiyayaVijana.
Akiongeanawananchi, Paul MakondaamewatakaMakamandahaowateulekufanyakazikwaajiliyaJumuiya, Chama na wananchi, amewatakawatambuekuwanafasihiyonikubwa na yamsingikwa Maendeleo yaVijana na wananchikwaUjumla.
LakinipiaamewatakawananchiwaSingida na watanzaniawamikoayotekujitambulishakimikoakatikasurayakimataifakwaainayazaowanalozalisha, aliwatakawanasingidakujitambulishakwazao la alizet na kutumiakilimokamanyenzomuhimuyakijiletea Maendeleo yaKiuchumi.
Katikamkutanohuo, Makondaalikabidhikadikwavijana Zaidi ya 50 ambaowaliamuakujiunga na JumuiyayaUmojawaVijanawa Chama Cha Mapinduzi na kupokeawanachamawenginekutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na kiongoziwaVijanawa CHADEMA wa Kata hiyonduguYasinAthuman. 
Pia, aliwanangaViongoziwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuachazaUkanjanjazakutumiamatatizoyawananchikamadaraja la kufikiamafanikioyaobinafsi. Asemawanashindwakutumiarasilimalizaokujiimarishakama Chama na kusaidiakutatuamatatizoyawananchibadalayakutumiafedhanyingikwakukodihelkopta na kufanyamatumiziyasiyo na msingiyasiyojalimustakabalmwemawaWananchi. Piaamsifu nakumpongezaTunduLissukuwanikiongozimjanjandaniya Chama hichokwanibaadayakugunduakuwa Chama hichokinaendeshwakiukoo na kifamilianaeakamchukua Dada yakeanayeitwa Christina Lissuna kumpaUbungewaVitimaalum.

No comments:

Post a Comment