Saturday, December 01, 2012

MKE WA MBUNGE WA WAWI AZIKWA


 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad katika mazishi ya Kisa Gwalugano hamad, Mke wa Mbunge wa Wawi yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam Novemba 29,2012. Kusshoto ni Waziri Mkuu Mstaafu, Salim Ahmed Salim na Wapili kulia ni Waziri  wa NchiOfisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA na Kiongozi wa Upizani Bungeni, Freeman Mbowe katika mazishi ya Kisa Gwalugano Mohamed,Mke wa  Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam Novemba 29,2012.(Pich na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment