Monday, December 31, 2012

MAMBO YA MKESHA WA MWAKA MPYA

 Mkuu wa mkoa wa Kagera kanali mstaafu Fabian Massawewa tatu toka kushoto akicheza nyimbo za dini sambamba na baadhi ya viongozi wa dini wakati wa mkesha wa sherehe ya mkesha wa mwaka mpya wa mwaka 2013.
 Baadhi ya walioudhuria mkesha wa mwaka mpya.
 Msanii akitumbuiza wakati wa sherehe ya mkesha wa mwaka mpya iliyoandaliwa na mkuu wa mkoa wa Kagera iliyofanyika kwenye uwanja wa mpira wa Kaitaba.


No comments:

Post a Comment