Tuesday, February 19, 2013

WAZIRI MKUU PINDA AZINDUA KIWANDA CHA KUSINDIKA PAMBA

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitama mbegu za pamba wakati alipofungua kiwanda cha kusindika mbegu za pamba za kisasa cha Quton kilichopo Bariadi Februari 18l 2013. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Paschal Mabiti. (Picha na OFisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua kiwanda cha kusindika mbegu za pamba za kisasa  cha Quton kilichopo Bariadi Februari 18, 2013. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Paschal Mabiti  na Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa kiwanda hicho, Morgan Nzwele. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment