Sunday, April 26, 2015

WAZIRI MKUU ASHIRIKI MAZISHI YA MKUU WA WILAYA YA KYELWA


 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimfariji Mama Francisca Kitenga baada ya mazishi ya mumewe, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, , marehemu,Luteni Kanali Benedict Kitenga  yaliyofanyika kwenye makaburi ya  Kola , Morogoro mjin.i
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Askofu wa Jimbo Katoliki la Morogoro, Telesphor Mkude baada ya mazishi ya  aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, , marehemu,Luteni Kanali Benedict Kitenga  yaliyofanyika kwenye makaburi ya  Kola.

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na  baadhi ya Wakuu wa Wilaya walioshiriki katika mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, , marehemu,Luteni Kanali Benedict Kitenga  yaliyofanyika kwenye makaburi ya  Kola , Morogoro mjini.

No comments:

Post a Comment