A         U       D        A        X      -     K           A           G       E       R        A

Pages

  • Home
  • NEWS
  • PHOTOS
  • EDUCATION

Wednesday, April 29, 2015

WAZIRI MKUU AAGANA NA BALOZI WA BRAZILI



WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amekutana na Balozi wa Brazili nchini Tanzania, Bw. Fransisco Luz na kujadiliana mambo kadhaa kuhusu maendeleo na mahusiano baina ya nchi hizo mbili.



Akizungumza na Balozi Luz ofisini Magogoni jijini Dar es Salaam leo mchana (Jumatano, Aprili 29, 2015), Waziri Mkuu alimshukuru Balozi huyo kwa ushirikiano ambao ameutoa kwa Serikali ya Tanzania katika kipindi cha miaka sita ambacho amekuwa akiiwakilisha nchi yake hapa nchini.



Balozi Luz ambaye amepangiwa kwenda Jordan kwenye kituo kipya, alisema anaondoka nchini akiamini kwamba mtu atakayekuja kumpokea ataendelea mambo aliyoyaanzisha ikiwemo mradi wa kufadhili utafiti na uendelezaji wa zao la pamba kwenye kituo cha utafiti wa kilimo cha Ukiriguru, Mwanza.



Balozi Luz ambaye alifika kumuaga Waziri Mkuu, alitumia fursa hiyo kumweleza Waziri Mkuu kwamba ubalozi huo umefanikiwa kupeleka Watanzania wawili kusomea kozi za Uzamili (Masters’ Programme) kwenye vyuo vikuu vya Brazil.



“Wanafunzi hawa wawili waliondoka Februari mwaka huu, ni kati ya wanafunzi saba waliofuzu lakini wengine watano walikosa ufadhili kutoka kwenye taasisi zao. Mmoja anasomea Geo-Physics na mwingine Oil Engineering,” alisema Balozi Luz.



Balozi Luz ambaye anatarajia kuondoka nchini mapema mwezi ujao, amepangiwa kituo kingine ambapo ataenda kuiwakilisha nchi yake nchini Jordan.







IMETOLEWA NA

OFISI YA WAZIRI MKUU,

2 MTAA WA MAGOGONI,

S.  L. P. 3021,








Posted by audax-kagera at 10:33 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

About

My Blog List

VISTORS

Flag Counter

BLOGROLL

KUMBUKUMBU

  • ►  2020 (1)
    • ►  December (1)
  • ►  2019 (1)
    • ►  January (1)
  • ►  2018 (1)
    • ►  June (1)
  • ►  2017 (1)
    • ►  December (1)
  • ►  2016 (11)
    • ►  July (4)
    • ►  March (1)
    • ►  February (2)
    • ►  January (4)
  • ▼  2015 (266)
    • ►  December (2)
    • ►  November (12)
    • ►  October (23)
    • ►  September (17)
    • ►  August (21)
    • ►  July (13)
    • ►  June (25)
    • ►  May (34)
    • ▼  April (31)
      • PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA BRITISH AMERICAN TOBACCO
      • WAZIRI MKUU AAGANA NA BALOZI WA BRAZILI
      • RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI B...
      • RAIS KIKWETE AZINDUA MELI VITA MBILI ZA KIKOSI CHA...
      • BALOZI KAMALA ASHIRIKI KONGAMANO LA KIMATAIFA LA B...
      • RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU BRIGEDIA...
      • SERIKALI KUIIMARISHA OFISI YA TAKWIMU – WAZIRI MKUU
      • Warundi 152,572 wawa raia wa Tanzania
      • Maandamano:Jeshi lasambazwa Burundi
      • Tigo launches bid to become biggest 4G network in ...
      • WAZIRI MKUU ASHIRIKI MAZISHI YA MKUU WA WILAYA YA ...
      • Jeshi laapa kuwashinda Boko Haram
      • Hali yaelezwa kuwa mbaya zaidi Yemen
      • PINDA AKUTANA NA MAKAMU MWENYEKITI WA BARAZA LA BI...
      • RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA M...
      • WATANZANIA WALIOKO NJE WASHAURIWA KUHAMISHA MITAJI...
      • Suluhu yatakiwa haraka kuhusu wahamiaji
      • Kwanini wanaume wanajitoa uhai ? Soma utafiti
      • KIJUE CHA UALIMU CHA ERA KINACHOMILIKIWA NA PASKAZ...
      • Mwandishi Ukraine auawa kwa risasi
      • David Cameron akwepa mdahalo wa pili
      • Gesi ya chlorine yatumika Syria
      • WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO NC...
      • DR. KAMALA AENDELEA KUWAVUTA WAWEKEZAJI NCHINI
      • MUELEWE MKUU WA MKOA WA ZAMANI WA KAGERA KANALI MS...
      • KINARA WA MAUAJI YA KUWATAKA WATU KWA MAPANGA NA K...
      • KINARA WA MAUAJI YA KUWATAKA WATU KWA MAPANGA,KUWA...
      • DR.KAMALA NCHINI UBELGIJI
      • PRESIDENT KIKWETE IN NEW YORK
      • MAMBO YA SIKUKUU YA PASAKA
      • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
    • ►  March (39)
    • ►  February (26)
    • ►  January (23)
  • ►  2014 (140)
    • ►  December (19)
    • ►  October (2)
    • ►  September (5)
    • ►  August (5)
    • ►  July (1)
    • ►  May (2)
    • ►  April (12)
    • ►  March (27)
    • ►  February (35)
    • ►  January (32)
  • ►  2013 (566)
    • ►  December (36)
    • ►  November (44)
    • ►  October (50)
    • ►  September (55)
    • ►  August (61)
    • ►  July (37)
    • ►  June (30)
    • ►  May (54)
    • ►  April (50)
    • ►  March (42)
    • ►  February (49)
    • ►  January (58)
  • ►  2012 (180)
    • ►  December (48)
    • ►  November (57)
    • ►  October (59)
    • ►  September (16)

Recent Posts

HABARI KUBWA

  • WIMBO WA KUHAMASISHA KASI YA MAENDELEO WAZINDULIWA KAGERA
    MKOA wa Kagera umezindua wimbo maalumu utakaokuwa ukiimbwa wakati wa shughuli mbalimbali za kuhamasisha masuala ya maendeleo na   amani mko...
  • MAMBO YA USIKU WA BIA YA PRISNER LAGER NDANI YA UKUMBI WA GARDEN BAR
     Mnenguaji wa akifanya vitu vyake wakati wa kuinadi bia ya Prisner.  Mambo ya ndembe ndembe kanga moja.
  • WAZIRI MKUU AKAGUA MAGHALA YA WAKALA WA HIFADHI YA TAIFA YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA SONGEA
    Waziri Mkuu   Kassim   Majaliwa amekagua   maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kanda ya Songea, wakati akiendelea na ...
  • TUMEDHAMIRIA KUWATUMIKIA WATANZANIA - MAJALIWA
      *Asema Serikali hii siyo ya watu wapole WAZIRI MKUU Majaliwa Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kuhaki...
  • MAJALIWA: MALIASILI NA UTALII JIPANGENI VIZURI
    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kujipanga vizuri na kufanya mapitio ya idara zake hususan ya misit...
  • WAZIRI MKUU AKAGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA
    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua jengo la Makao Makuu ya Halmashauri ya Wialaya ya Songea lilipo katika kijiji cha Lundusi, Wilaya ya P...
  • MAKANISA YA KIKIRISTO YAENDELEA KUCHOMWA MOTO KAGERA
    NA AUDAX MUTIGANZI BUKOBA +255 784 939 586/ 753 844 995 Kufuatia kukithiri kwa vitendo vya uchomaji moto   makanisa u...
  • WAZIRI MKUU MSTAAFU AKABIDHI OFISI KWA MAJALIWA
    WAZIRI MKUU mstaafu Mizengo Pinda amekabidhi ofisi kwa Waziri Mkuu Kasim Majaliwa na kumtaka aimarishe ufuatiliaji wa maelekezo anayoya...
  • MSIMU WA SAMAKI AINA YA MBOJU WAANZA KAGERA
    Hawa mboju wakubwa wanapatikana eneo ka Kemondo.

KALENDA

Poll

Total Pageviews

Sample text

Blogger templates

Ads 468x60px

Social Icons

Followers

About Me

audax-kagera
View my complete profile

Featured Posts

Translate

Search This Blog

By: Powervuu. Powered by Blogger.