familia ya Marehemu Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita Temeke Chang'ombe jijini Dar es salaam jioni ya leo April 27, 2015. 
Marehemu
 anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumatano katika makaburi ya Kisutu jijini 
Dar es salaam baada ya Swala ya Alasiri katika msikito wa Mtoro, 
baada ya kupata heshima zote za kijeshi asubuhi yake katika makao makuu ya Jeshi Upanga, Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia wakati Mama Salma Kikwete akiweka saini katika kitabu cha
maombolezo
 alipokwenda kuifariji familia ya Marehemu Brigedia Jeneral Mstaafu 
Hashim Mbita Temeke Chang'ombe jijini Dar es salaam jioni ya leo April 
27, 2015.
Marehemu
 anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumatano katika makaburi ya Kisutu jijini 
Dar es salaam baada ya Swala ya Alasiri katika msikito wa Mtoro, 
baada ya kupata heshima zote za kijeshi asubuhi yake katika makao makuu ya Jeshi Upanga, Dar es salaam.
Marehemu Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita Temeke Chang'ombe jijini Dar es salaam jioni ya leo April 27, 2015. 
Marehemu
 anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumatano katika makaburi ya Kisutu jijini 
Dar es salaam baada ya Swala ya Alasiri katika msikito wa Mtoro, 
baada ya kupata heshima zote za kijeshi asubuhi yake katika makao makuu ya Jeshi Upanga, Dar es salaam.
Picha na IKULU




No comments:
Post a Comment