Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrishi Kikwete akitoa heshima zake za 
mwisho kwa mwili wa Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitenga (Mstaafu) 
aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera ambaye alifariki jana 
asubuhi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mazishi yake 
yanatarajiwa kufanyika kesho huko Morogoro.
 Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa
 Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitenga (Mstaafu) aliyekuwa mkuu wa 
Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera ambaye alifariki jana asubuhi katika 
hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mazishi yake yanatarajiwa kufanyika 
kesho huko Morogoro.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrishi Kikwete akifariji mjane wa marehemu 
baada ya kutoa heshima  zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Luteni 
Kanali Benedict Kitenga (Mstaafu) aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Kyerwa 
mkoani Kagera ambaye alifariki jana asubuhi katika hospitali ya Taifa ya
 Muhimbili. Mazishi yake yanatarajiwa kufanyika kesho huko Morogoro.



No comments:
Post a Comment