Sunday, May 31, 2015

MAADHIMISHO YA 25 YA CHAMA CHA WANAWAKE WANASHERIA

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Balozi wa Sweden Nchini, Lennarth Hjelaker baada ya kuhutubia katika sherehe za kuadhimisha miaka 25 ya Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) kwenye viwanja vya  Karimjee  jijini Dar es salaam Mei 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) baada ya kuhutubia katika sherehe za miaka 25 ya chama hicho kwenye viwanja vya  Karimjee jijini Dar es salaam Mei 30, 2015. Aliyekaa wapili kulia ni balozi wa Sweden nchini, Lennarth Hjelaker.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


No comments:

Post a Comment