Wednesday, November 27, 2013

MAONYESHO YA BIDHAA ZINAZOTENGENEZWA KUTOKANA NA VIAZI LISHE

Bi. Elizabert Kitundu akikagua bidhaa zinazosindikwa kutokana na Viazi lishe.
Baadhi waandishi wa habari, kulia mi MC maarufu katika mkoa wa Kagera Bw. Rutakwa.
Msanii wa kikundi cha Kasimbo toka Ngote wilayani Muleba akifanya vitu vyake.
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Misenyi, Bi Elizabert Kitundu, ambaye alikuwa mgeni rasmi, kulia ni mtafiti mwandamizi wa chuo cha utafiti Maruku Innocent Ndyetabula.
Mambo ya ngoma ya Kasimbo.

No comments:

Post a Comment