Tuesday, October 09, 2012

PROFESA LIPUMBA AWASILI KAGERA

Msafara ulienda kumpokea mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba.
Profesa Lipumba akiwa kwenye gari la wazi akiwapungia wananchi mara baada ya kuwasili mkoani Kagera ambapo atafanya mkutano wa hadhara katika kata ya Bakoba.

No comments:

Post a Comment