Saturday, October 06, 2012

MATAGE MKUU WA UPELELEZI WA JESHI LA POLISI KAGERA AAGWA

Baadhi ya askari walioudhuria sherehe za kumuaga Peter Matage anayehamia makao makuu ya jeshi la polisi.
Viongozi walioudhuria sherehe ya kumuaga Matage.
 Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Kagera Philip Kalangi, akiwatambulisha viongozi wa serikali walioudhuria sherehe za kumuaga Matage.
 Baadhi ya maofisa wa jeshi la polisi.
 Baadhi ya askari wa kikosi cha usalama barabarani walioudhuria sherehe hiyo.
 Baadhi ya askari wakigonganisha glasi na viongozi waliodhuria sherehe hiyo.
 Matage (kushoto) anayehamia makao makuu ya jeshi la polisi akiwa kwenye picha mkuu mpya wa upelelezi wa mkoa wa Kagera aliyetokea Zanzibar.
 Mtaalamu China, alikuwa miongoni mwa walioudhuria sherehe ya kumuaga Matage.
Matage akiwa ameshika tuzo aliyoipokea toka kwa mwakilishi wa mkoa wa Kagera, Fikir Kisimba, ilitolewa na askari wa kikosi cha upelelezi.

No comments:

Post a Comment