Wednesday, October 17, 2012

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI ATEMBELEA BANDARI A BUKOBA NA KEMONDO

Naibu waziri wa uchukuzi Charles Tizeba akitoa maelekezo kwa maofisa wa bandari alipotembelea bandari ya Bukoba.
Meli ya mizigo ikipakia sukari ilikutwa bandari ya Bukoba.
 Tibeza akiongea na wasafiri aliowakuta bandarini.
 Baadhi ya wasafiri ambao walikutwa kwenye jumba la wageni lililoko bandaria ya Bukoba.
 Naibu waziri akiangalia huduma zinazotolewa na meli ya Victoria.
Sehemu ya mandhari ya bandari ya Bukoba.
 Naibu waziri akielezwa huduma zinazotolewa na kampuni inayomiliki meli ya Victoria.
Meli kongwe nchini ya victoria ambayo hufanya safari zake kati ya mikoa ya Mwanza na Bukoba, ilikuwa imeegeshwa bandari ya Bukoba, Naibu waziri ameutaka uongozi wa kampuni ya meli kuhakikisha unaweka mazingira mazuri kwa wasafiri ambayo ni pamoja na kuiwekea meli hiyo viyoyozi ili wasafiri waweze kuvuta hewa nzuri na pia waifanyie usafi kwenye maeneo yote.

No comments:

Post a Comment