Sunday, December 28, 2014

PINDA AZUNGUMZA NA VIJANA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na vijana kutoka kata za Kibaoni na Usevya wilayani Mlele, Katavi waliomtembelea nyumbani kwake Kibaoni akiwa kwenye mapumziko na Krismas na Mwakampya Desemba 26, 2014. (PIcha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment