Tuesday, September 25, 2012

KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akifungua kikao cha Kamati Kuu ya CCM kwenye  ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM mjini Dodoma Septemba  24, 2012. Kushoto ni Rais wa Zamnzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein, Kulia ni Makamu mwenyekiti wa CCM (Bara) Pius Msekwa na wapili kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mkama. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment