Wednesday, September 17, 2014

WAZIRI MKUU PINDA NA WAHISANI

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Bw. Lord Hollick ambaye ni  Mjumbe wa Masuala ya Biashara wa Waziri Mkuu wa Uingereza nchini  Tanzania katika majadiliano  kuhusu  ushirikiano baina ya serikali na Sekta Binafsi  (PPP Dialogue) kwenye hoteli ya Hyatt Regency- Kilimanjaro jijini Dar es salaam.

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa  wa Kampuni ya Japani ya  SUMITOMO baada ya kuzungumza nao ofisini kwake jijini Dar es salaam Kulia kwake ni Rais wa kampuni hiyo, Nakamura Kumharu.

No comments:

Post a Comment