Tuesday, July 21, 2015

DHL and SOS Children’s Villages benefit over 3,500 youths from half a decade of partnership in Africa

 
         Youths from 11 countries reached out to through sponsorship and employee engagement activities
         To date, over 2,000 employees have volunteered in various activities to participate in the partnership
         Inaugural regional conference organized to discuss challenges and future plans
 
NAIROBI, Kenya, July 21, 2015/ -- Deutsche Post DHL Group (DPDHL Group), the world’s leading logistics company, together with non-governmental organization SOS Children’s Villages, have celebrated half a decade of a successful partnership that has helped to improve the employment prospects of disadvantaged young people from SOS Children’s villages across 11 countries in Africa. The partnership between DPDHL Group and SOS Children’s Villages began in 2010 in South Africa and Madagascar and has since expanded to nine other African countries – Ethiopia, Ghana, Kenya, Morocco, Mauritius, Nigeria, Swaziland, Tanzania and Uganda.
 
“Education and employability are highly important topics for Deutsche Post DHL Group and, through our GoTeach program, play a central role in our Corporate Responsibility strategy,” said Christof Ehrhart, Executive Vice President, Corporate Communications and Responsibility, Deutsche Post DHL Group. “We are keen to support the direct development of future logistics talent, but we also firmly believe that education and employability make an important contribution to stability and prosperity in the world, Through five years of partnership with SOS Children’s Villages, we have already seen first-hand the benefits and positive impact that engagement between business and charities that create opportunities for young people can have.”     
 
“Empowering youth and improving their employment prospects is the objective of the international partnership between SOS Children’s Villages and Deutsche Post DHL Group. The success of our partnership is rooted in the commitment of our employees who volunteer their time to mentor youths aged 15-25 and to help them get ready for their foray into the job market,” said Christoph Selig, Head of GoTeach Program, Deutsche Post DHL Group.
 
“Employees mentor youths from both SOS Children’s Villages and SOS Family Strengthening Programs, and organize a variety of tailored career development activities that deliver tangible results for the mentees,” he added. “It really has been a joy to see the partnership and correspondingly, our outreach to young people, grow. To date, our employees have engaged with over 3,500 youths in Africa.”
 
Over the past five years, DPDHL Group has organized a variety of activities in the 11 countries, including job shadowing exercises, mentorship programs between DHL employees and SOS children, skills transfer, internships, sports activities and environmental initiatives.
 
To discuss challenges and future plans, an inaugural conference will take place over four days in Kenya, with teams from both organizations coming together to jointly develop new ideas on how to further strengthen the partnership in Africa and the Middle East.
 
Speaking from the inaugural regional Africa DHL-SOS Children’s Villages GoTeach Conference in Karen, Nairobi, where more than 50 participants from both organizations are meeting from July 14 to 17, Tom Were, National Director, SOS Children’s Villages Kenya, said, “While SOS provides a loving home for the children that we care for, DHL enables their independence through their employee volunteer program. The program empowers our youth through exposure to the working world and educating them on the career options available. As a result, our youth become self-reliant, responsible, and contributing members of society. We are looking forward to deepening this partnership and extending our outreach to more youth in Africa over the next few years.”

As part of the DPDHL Group GoTeach program, the Group works with two global partners, Teach For All and SOS Children’s Villages, to improve educational opportunity and employability for young people.
 
Through its partnership with SOS Children’s Villages, which was established in 2010, DPDHL Group today works with Villages in 26 countries in Africa, Asia, Latin America and Europe.(1) Along with financial support for educational programs and youth facilities, the activities focus on career guidance, teaching basic professional skills and providing young people with their first exposure to the working environment. DPDHL Group collaborates closely with local SOS Children’s Villages to develop support measures tailored directly to the needs of the community.
 
In 2014, DPDHL Group volunteers organized more than 160 different activities reaching more than 1,600 young people from socially disadvantaged backgrounds, offering over 100 internships and finally permanently employing 25 young talents.
 
Corporate Responsibility is an integral part of DPDHL Group’s corporate strategy with “Living Responsibility” as its motto. It focuses on environmental protection (GoGreen), disaster management (GoHelp) and education (GoTeach) and supports employee volunteerism through Global Volunteer Day, and the Living Responsibility Fund.
 

PINDA ASALIMIANA NA ARFI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na aliyekuwa Mbunge wa Mpanda  Kati  kwa tiketi ya CHADEMA, Said Arfi mjini Mpanda  Julai 21 2015. Mheshiiwa Pinda yuko  Katavi kwa mapumziko mafupi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Kiboko akiwa  amejeruhiwa vibaya baada ya  kushambuliwa na Simba na kukimbilia mtoni katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi.
Mamba wakiwa katika hifadhi ya Katavi.

FILAMU YA MWISHO YA BI. KIDUDE


‘Makala ya Kusisimua yenye matukio yenye hisia nzito.’ 
Andy Markowitz, Tovuti ya Muziki wa Filamu Music Film Web
‘Tafakari ya kusisimua ya urafiki usio wa kawaida kati ya Kijana Mtengenezaji wa filamu na diva wa Zanzibar mzee wa miaka 100 Zanzibar diva’ Garth Cartwright - mwandishi, “More Miles Than Money”Umbali mkubwa kuliko fedha”
‘Uwasilishaji wa wa nyota …iliyofifia na kuifanya ing’are upya’ 
Martin Mhando, Mkurugenzi ZIFF
Nilimpiga Picha Bi Kidude “I Shot Bi Kidude”, ni makala mpya ya simulizi  iliyotayarishwa na Andy Jones, mtengenezaji wa filamu wa Uingereza  ambayo itahitimisha Tamasha la Filamu la Kimataifa hapa Zanzibar,.  Watazamaji wa Zanzibar watamsikia msimulizi mwenyewe akisimulia kwa lugha ya Kiswahili ambayo alijifunza kwa muda mfupi matamshi kwa msaada wa wanamziki Wazanzibari Mim Suleiman na Bwana  Mohammed Issa Matona.

Kwa kipindi cha zaidi ya miaka minne, kuanzia 2003 mpaka 2006, Andy Jones alimfuata  Bi Kidude alipokuwa akisafiri duniani. Matokeo yake ni kupokea tuzo ya  filamu AS OLD AS MY TONGUE, ambayo ilionyeshwa kwa mara ya kwanza  katika mwaka  2006 na baadaye iliendelea kuwa kivutio kwenye matamasha ya filamu na muziki duniani kote.. 
Baada ya kutembelea Zanzibar kila mwaka kwa karibu muongo mmoja, Jones hakuweza tena kumuona Bi Kidude kwa muda wa miaka mitatu.  Katika mwezi Agosti mwaka 2012, taarifa zilifika Uingereza zikieleza kuwa mwanamziki kinara maarufu Africa Mashariki ametekwa nyara . Haikuchukua muda mrefu Andy alirudi Zanzibar kupata ukweli wa taarifa .  
Wiki chache tu baada ya kisa hicho kuibuliwa kwa picha zilizopigwa na Natalie Haarhoff kutoka Afrika ya Kusini , muimbaji mzee sana wa kimataifa amefariki, akiwa na umri unaosemekana kuwa zaidi ya miaka mia moja .  Jones alikurupuka kutoka nyumbani kwake huko Newcastlena kufika uwanja wa ndege wa Heathrow dadikia chache kabla ya ndege iliyopangwa kwenda Nairobi kuondoka. Alifika kwenye mazishi ambayo yalishtua kisiwa kizima..
“I SHOT BI KIDUDE, ni simulizi yangu kuhusu mambo yalivyokuwa wakati wa mwisho wa maisha ya  Bi Kidude’ .  Kama ilivyo kwenye simulizi nyingine , kuna maelezo mbalimbali kuhusu ukweli wa jambo.  Kimsingi kuna vitu vingine ambavo si rahisi kwa mgeni kuvitambua, hata hivyo ninatumaini kuna vitu vingine haviwezi kufichika machoni . Ninaloona mimi hisia ya kusherehekea nguvu za muziki na kufanya vitu ambavyo vinatuletea furaha  pale tunapoweza ” Andy Jones anasema.

Sunday, July 19, 2015

MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM JOHN POMBE MAGUFULI AKITAMBULISHA KWAO

 Mbunge wa Chato na Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi
CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa mji huo waliojitokeza kwa wingi kumlaki,mara baada ya kuwasili leo jioni mjini humo akitokea mkoani Mwanza ambako nako alipita kujitambulisha na kuwashukuru wakazi wa jiji hilo ambao nao walijitokeza kwa wingi.
Kufuatia ujio wa Dkt Magufuli ndani ya mji wa Chato kuliibuka shamra shamra za mapokezi zilizokuwa zikirindima kila pande wakifurahia uteuzi wa
CCM kwa Dkt Magufuli.


 Baadhi ya Wananchi wa Wilaya ya Chato na vitongoji vyake waliokuwa
wamekusanyika kwenye kituo cha mabasi wilayani humo wakishangilia kwa
furaha kubwa mara baada ya Mbunge wao na Mgombea Urais kwa chama cha
Mapinduzi  CCM,Dkt John Pombe Magufuli kujitambulisha kwao.

WAZIRIU MKUU PINDA AKUTANA NA WATAFITI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  na mkewe Tunu (kushoto) wakisalimiana na watafiti wa masuala ya mazingira , wanawake na wanyamapori Profesa Tim Cars (wapili kulia) na profesa Monica Malder (wapili kushoto)  kijijini kwake Kibaoni wilayani Mlelele Julai 19, 2015. Watafiti hao wenye makazi  yayo kijijini hapo tangu 1995 .

RAIS KIKWETE AREJEA TOKA USWIZI

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mfanyakazi wa Shirika la Ndege la Uswisi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam mara baada ya kurejea nyumbani baada ya ziara ya kikazi mjini Geneva.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam mara baada ya kurejea nyumbani baada ya ziara ya kikazi mjini Geneva. PICHA NA IKULU


Akiwa Geneva, Rais Kikwete ameongoza vikao vya  Jopo la Kimataifa Linalopendekeza Jinsi Dunia inavyoweza kukabiliana na majanga yajayo ya magonjwa ya milipuko ambalo kazi yake imeungwa mkono na nchi 21 ambazo zilichangia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ebola.
Miongoni mwa mikutano ambayo Rais Kikwete ameiongoza katika Makao ya Umoja wa Mataifa (UN) mjini Geneva ni pamoja na yeye na wanajopo wenzake kutoa maelezo kuhusu maendeleo ya kazi yao kwa nchi ambazo zilichangia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ebola katika nchi za Guinea, Liberia na Sierra Leone.
Nchi hizo ambazo zimeunga mkono kazi ya Jopo hili katika mkutano huo ni Venezuela, Umoja wa Ulaya (EU), Uholanzi, Finland, Shirikisho la Russia (Russian Federation), Norway, China, Ubelgiji, India, Ujerumani, Marekani, Uswisi, Canada, Brazil, Denmark, Uingereza, Israel, Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Umoja wa Afrika (AU), Benki ya Dunia (WB), Jamhuri ya Korea na Japan.
Pamoja na kwamba wajibu mkuu wa Jopo hili siyo kuchunguza ugonjwa wa Ebola na madhara yake, bado ugonjwa huo ni msingi mkuu wa kazi ya Jopo hilo ambalo wajibu wake ni kutumia uzoefu wa Ebola kutoa mapendekezo ya jinsi dunia inavyoweza kukabiliana na majanga ya magonjwa ya milipuko katika siku zijazo.
Ugonjwa wa Ebola ambao ulilipuka katika nchi hizo tatu za Afrika Magharibi mwishoni mwa mwaka 2013 mpaka sasa umeua watu 11,000 katika nchi hizo na kusababisha mshtuko mkubwa duniani.
Hiyo ilikuwa mara ya 24 kwa ugonjwa huo kulipuka katika Afrika tokea ulipolipuka kwa mara ya kwanza mwaka 1976, miaka karibu 40 iliyopita, katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wakati huo ikiitwa Zaire.
Hata hivyo, katika milipuko ya kwanza 23, ugonjwa huo uliua watu wachache zaidi kuliko mlipuko wa 24.
Jopo hilo limeambiwa kuwa tofauti na matarajio ya dunia kuwa ugonjwa huo ulikuwa unamalizika katika nchi hizo hasa katika Liberia, umeanza kupata kasi tena na nchi hizo tatu zinakisiwa kuwa na wagonjwa karibu 70.
Jopo hilo lenye Wajumbe sita liliteuliwa Aprili, mwaka huu, na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mheshimiwa Ban Ki Moon na kufanya vikao vyake vya mwanzo Mei, mwaka huu, katika makao makuu ya UN, mjini New York, Marekani.
Mbali na kukutana na nchi zilizochangia mapambano dhidi ya Ebola, Rais Kikwete na Jopo lake limepata nafasi ya kumsikiliza aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, wakati ugonjwa huo unalipuka Dkt. Luis Gomes Sambo wa Angola ambaye aliwaeleza wajumbe historia ya ofisi ya kanda hiyo iliyoko mjini Brazzaville, Jamhuri ya Congo, katika kukabiliana na ugonjwa huo.
Aidha, Wajumbe wa Jopo wamemsikiliza Mkurugenzi mpya wa Kanda, Dkt. Matshidizo Rebecca Moeti ambaye amezungumza kwa njia ya mkutanomtandao (teleconference) kutoka mjini Brazzaville. Dkt. Moeti alianza kazi yake Januari Mosi, mwaka huu, 2015.
Vile vile, Wajumbe wa Jopo wamesikiliza jitihada za Jamhuri ya Rwanda kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kupitia kwa Waziri wa Afya wa nchi hiyo, Agnes Binagwaho ambaye naye alizungumza kwa mkutanomtandao kutoka Kigali, Rwanda.
Nje ya vikao hivyo, Rais Kikwete alikutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu Mstaafu wa UN, Mheshimiwa Kofi Annan. Katika mkutano huo kwenye Hoteli ya Intercontinental, viongozi hao wawili wamezungumzia masuala mbali mbali ya kimataifa, ikiwamo hali ya Burundi.
Rais pia amekutana kwa mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Kituo cha South Centre ambacho kina makao yake mjini Geneva, Dkt. Martin Kohr. Kituo hicho kilianzishwa chini ya uongozi wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, kwa nia ya utekelezaji wa Ripoti ya Kamisheni ya Nchi Zinazoendelea (South-South Commission), ambayo iliongozwa na Mwalimu.

Wednesday, July 15, 2015

WAZIRI MKUU AWASILI KATAVI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu wakisalimiana na viongozi wa mkoa wa Katavi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda Julai 15, 2015. Mheshimiwa Pinda atakuwa Mkoani Katavi   kwa mapumziko mafupi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Katibu Tawla wa Mkoa wa Katavi,Mhandisi Emmanuel Kalobelo  baada ya kuwali kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda Julai 15, 2015 kwa mapumziko mafupi mkoani Katavi . Kulia ni Mkuu wa koa huo, Dkt. Ibrahim Mzengi.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

KADA WA CCM MWALIMU RUBEIYUKA ALIYETANGAZA KUCHUANA NA BALOZI KAGASHEKI WENYE KITI CHA UBUNGE JIMBO LA BUKOBA MJINI ACHUKUA FOMU


Katibu wa uchumi na fedha wa Bukoba mjini, Mwalimu George Rubeiuyuka aliyetangaza mapema nia yake ya kuwania kiti cha ubunge katika  jimbo la Bukoba mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana (jumatano) amekuwa kada wa kwanza kuchukua fomu ya kwania kiti cha ubunge wa jimbo hilo.


Mwalimu George ambaye nia afisa elimu vifaa na takwimu wa wilaya ya Misenyi amechukua fomu hiyo majira ya saa 4.30 toka kwa katibu msaidizi wa Bukoba mjini Abdul Kambuga huku akiwa ameongozana na wafuasi wachache wa chama hicho.


Kada huyo wa CCM muda mfupi baada ya kuchukua fomu hiyo  alisikika akisema kuwa hakuwania nafasi hiyo ya ubunge wa jimbo la Bukoba mjini inayoshikiliwa na Balozi Khamis Kagasheki  inayonyemelewa na  makada wengine wa chama hicho kwa ushabiki.


Amesema anawania nafasi hiyo kwa dhati kwa kuwa uzoefu wa kuwaongoza wananchi  anao, uwezo wa kuwatumikia anao, uwezo wa kukitetea chama anao na sababu nia na madhumuni ya kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo la Bukoba mjini anayo.


Mwalimu Rubeiyuka amesema kwa sasa ni mapema kutaja vipaumbele vyake kwa kuwa  vipaumbele vyake vitaendana sambamba na ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 205 itayotolewa na chama hicho.


Allichokiahidi ni kuwatumikia wananchi kwa nguvu zote, pia amesema kuwa iwapo atachaguliwa atahakikisha anaondoa makundi yanayodumaza maendeleo katika manispaa ya Bukoba, amesema makundi ndio chanzo cha migogoro inayokwamisha maendeleo katika manispaa ya Bukoba.


Amewaomba wanachama wa CCM wammchague ili aweze kupeperusha bendera ya chama hicho kikongwe nchini  kwa kuwa anao uwezo mkubwa wa kukabiliana na wawakilishi wa vyama vya watakaoteuliwa kuwania nafasi ya ubunge ndani katika jimbo la Bukoba mjini.


Kinyanganyiro cha kumpata mwakilishi atakayepeperusha bendera ya CCM katika jimbo la Bukoba mjini kina ushindani mkubwa, ushindani huo unadhihirishwa na hatua ya  makada wengi wa chama hicho kujitokeza kwa wingi kuwania kiti cha ubunge katika jimbo hilo.


Baadhi ya makada ambao wanatarajia kuchukua fomu kwa lengo la kushiriki kwenye kura za maoni za CCM ni pamoja na Meya wa zamani Anatory Amani ambaye ni hasimu mkubwa wa mbunge wa sasa Balozi Kagasheki, Samweli Rugemalila na Joseph Mujuni Kataraiya hali hii tofauti na vipindi vilivyopita ambapo Balozi Kagasheki alikuwa akipita bila kupingwa.

Tuesday, July 14, 2015

Merck, UNESCO and Cambridge University join hands to build Research Capacity in Africa with the aim to fight against Ebola


 
The UNESCO-Merck Africa Research Summit- MARS aims to bring together researchers from across Africa to discuss the generation, sharing and dissemination of research data and to prepare for the road ahead in Africa’s development as an international hub for research excellence and scientific innovation.
 
UNESCO-Merck Africa Research Summit - MARS 2015 will have scientific support from UNESCO (United Nations educational, scientific and cultural organization), the University of Cambridge, UK, and University of Rome, Italy.
 
African researchers specialized in HIV and Ebola are encouraged to apply and submit abstracts about their latest research with regards to HIV and Ebola to be eligible to sponsorship to attend the summit and to win on e of the Summit- MARS awards.
 
The annual Summit aims to contribute to building research capacity in the African research community, with special focus on Ebola and emergent infectious diseases. The Summit will also showcase innovative research taking place in projects, programs and initiatives across African universities, and by the wider African research community. It also aims to Identify Scientific Research Priorities for Evolving Health Needs, and identify opportunities to capitalise on HIV Research Capacities for Emerging Infectious Diseases in Africa such as Ebola.
 
The annual Summit – UNESCO-MARS will address the vital role of research in the improvement and sustainable development of population health with specific emphasis on how to translate knowledge into action - the 'know-do gap' - to improve health and make an impact on society.
 
It will provide a networking platform for dialogue on improving global cooperation on health research and narrowing the disparities in health systems performance between developing and developed countries. It will create an African researchers’ network where there will be exchange of experience, knowledge, best practice (especially in Ebola management) and cooperation in future research and development projects.
 
In 2015, the inaugural Summit will have a special focus on HIV and Ebola, highlighting how experience gained from investigating the former could inform and drive the rapid understanding of the latter in the recent crisis in West Africa.
 
Diverse sets of speakers from Academia, Research institutes, major funding organizations of health/medical research, Chairs of Medical Research Councils, NGOs, Industry, established and emergent researchers, policy makers, ministries of health and editors of scientific / medical journals, etc., will be participating.
 
•          Speeches, keynote lectures and panel discussion about latest research in the areas of focus to exchange experience and share information.
•          Scientific tour around Merck Biotechnology R&D and Manufacturing site.
•          Workshops will cater for debates that stimulate young Researchers and Innovators to resolve health issues.
•          Central gallery will provide dedicated space to display, demonstrate and discuss  participants’ research (Posters and abstracts) followed by posters sessions
 
Up to 100 scientists / researchers will be fully sponsored to attend the Summit and benefit from the scientific program and development opportunities that will accelerate access to innovative health solutions and sustain innovation in Africa.
 
Their selection will be based on their abstract submission with dead line 30th of July.
 
Abstracts are invited from final year African PhD students and young investigators involved in HIV, Ebola and other infectious disease research. All should be primarily based at African research institutes and Universities, although collaboration within Africa as well as outside is encouraged.
 
All abstracts will be peer reviewed and will be eligible for sponsorship and first three winners will be eligible for further number of research awards and fellowship in Merck R&D hub.

Monday, July 13, 2015

MWALIMU GEORGE RUBEIYUKA APANIA KUMUONDOA MBUNGE WA JIMBO LA BUKOBA MJINI BALOZI KHAMIS KAGASHEKI



Na Audax Mutiganzi,Bukoba +255 784 939 586

Sasa kumekucha, asiye na mwana aeleke jiwe, nimeanza makala yangu hii  kwa kutanguliza usemi huu hii ni kwa kuwa tunatarajia kuona mengi  kufuatia mchauano mkali unaoanza  wa  kuwapata wale wataopeperusha bendera za Chama Cha Mapinduzi (CCM)  wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika nchini kote mwezi Octoba, mwaka huu katika ngazi za udiwani na ubunge.

Mchuano uliopo sasa  ni baina  ya wale  wanaotaka kuendeleza juhudi za kutetea viti vyao vya ubunge na udiwani wanavyovishikilia kwa sasa  kwa nguvu zote na wale wanaovikodolea macho viti hivyo baada ya  kuonyesha nia ya kutaka kuviwania.

Hali hii inawachanganya sana wale ambao wanafanya kila njia ya kutetea viti vyao kwa mara nyingine tena, ninachikielewa kiongozi ambaye alitekeleza ahadi yake vizuri baada ya kupewa ridhaa ya uongozi na wananchi hapaswi kuwa na wasiwasi hata wakijitokeza watu zaidi ya 1000 wanaotaka kuchuana naye.
Ninachokielewa mimi na kukifikiri pia ni kwamba kiongozi anayepaswa kuwa na wasiwasi pale anapojitokeza mtu anayetangaza nia ya kuchuana naye ni yule aliyeshindwa kuwatumukia wananchi vizuri hasa kwa kukwamisha maendeleo yao kwa maslahi yake binafsi bila kutanguliza maslahi ya wananchi.

Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu tumeanza kuona mengi na tutaendelea kuona mengi, hii ni kwa sababu kuna baadhi ya viongozi  wanaotaka kulinda viti vyao kwa kutumia mbinu ya kuwajenga hofu wale wamaowahisi wanataka kutangaza nia ya kuchuana nao.

Baadhi ya viongozi wamekuwa na kawaida ya kutumia maneno makali wanapokuwa kwenye majukwaa, wengine wanathubutu kusema kuwa watahakikisha wanawapasua  vifua au kuwavunja meno wale wote watakaojitokeza kuchuana nao, kauli hizi mara kwa mara zimekuwa zikitafsiriwa vibaya na wananchi.

Mara nyingi binadamu huwa hawapendi kukubali matokeo na lazima  tuelewe kuwa  kila siku sio siku ya jumapili, ninachotaka kukielezea inapotokea ukapingwa tena wa mtu wako  karibu au yule ambaye mnazaliwa tumbo moja  ni lazima ujie kwamba kuna tatizo kwa maana hiyo ni lazima ujitathimini  ili uweze kupata majibu ya haraka, kama unadhamilia kufanya jambo ama urudi nyuma au usonge mbele.


Ninachokielewa nafasi za uongozi hasa zile zinazopatikana kwa ridhaa ya wananchi hazipatikani kwa njia iliyorahisi, hapa naongelea nafasi ya ubunge ambayo inaliliwa na watu wengi, nafasi hii sio ya kung’ang’ania, kwa kuwa sio ajira rasmi na wala sio nafasi za urithi kwa kuwa inatokana na matakwa ya wananchi.

Jambo linalowashangaza wananchi walio wengi ni pale wanapomuona mbunge anamjengea chuki mtu yoyote anayejitokeza kumnyanganya tonge mdomoni, inashangaza pale unapomuona mbunge na kwa kushirikiana na wapambe wake wanapofikia hatua ya ya kuwatolea vitisho baadhi ya watu wanaotangaza nia ya kuwania viti vya ubunge.

Ninachoshangaa ni kauli za baadhi ya wabunge ambao kawaida yao uchaguliwa na wananchi kwa   kutumia nguvu kubwa pale wanapotamba na kuwaeleza wananchi kuwa hakuna mtu yoyote ambaye anaweza kupambana nao huku akielewa wazi kwamba nafasi zao ya ubunge ziko rehani.

Katika karne ya sasa wananchi hawadanganyiki tena, hii kwa sababu wanajua kuchambua mchele na pumba, ninachotaka kukisema ni kwamba wananchi walio wengi sasa hawadanganywi, wanatambua haki yao hasa kwa kuwapigia kura wabunge  wanaofaa tofauti  na zamani ambapo walikuwa wakichagua wabunge  kwa kuongwa pombe, sukari na vijipesa vidogo.

Kwa maana hiyo mbunge  anapochaguliwa anapaswa kuwajibika zaidi hasa kwa kutetea maslahi ya waliomchagua, pale anaposhindwa kuwajibika vizuri na akagundua mvuto wake kwa wananchi unafifia hapaswi kulazimisha hivyo hana budi kuachia ngazi na kuwaachia wengine uwanja ili wapate nafasi ya kujimwaga, habari ndoo hiyo, kugang’ania hakuna maana.

Katika mkoa wa Kagera ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) baadhi ya makada wa chama hicho wameanza kuonyesha nia yao ya kushiriki kwenye kura za maoni kuwania nafasi ya ubunge kupitia katika chama hicho.

Baadhi ya makada wa CCM ambao wameonyesha nia ya kuwania nafasi ya ubunge kupitia katika chama hicho ni pamoja na Julius Rugemalila, Dr. Mazima, Dr Diodorus Kamala na Kyombo wanaotaka kushiriki kwenye kura za maoni kwa lengo la kumg’oa mbunge wa jimbo la Misenyi Asumpta Mshama.

Tukienda katika jimbo la Karagwe tunamkuta Karim Amri AmirI anayetaka kuchuaa na mbunge wa sasa wa jimbo hiloGozibert Brandes, na katika jimbo la  Ngara tunamkuta Willison Gashaza anayetaka kuwania nafasi ya ubunge kupitia CCM kwa lengo la kumg’oa Ntukamazina na tukienda katika jimbo la Bukoba vijijini tunamkuta Nazir Kalamagi anayetaka kuwania kiti cha ubunge kinachoshikililiwa na Jasson Rweikiza.

Katika jimbo la Bukoba mjini  Mwalimu George Joseph Lubaiyuka ni miongoni mwa makada wa CCM ambao wameishaonyesha nia ya kutaka kuwania kiti cha ubunge kinachoshikiliwa na mbunge wa sasa katika jimbo hilo Balozi Khamis Kagasheki kupitia chama hicho.

Mtangaza nia huyo ni katibu wa uchumi na fedha katika wilaya ya Bukoba mjini, pia ni kada wa CCM wa muda mrefu na ambaye amewahi kushika nyazifa mbalimbali ndani ya  chama hicho,  baadhi ya nyazifa hizo ni pamoja na mjumbe wa halmashauri kuu CCM wilaya ya Bukoba mjini na mkoa wa Kagera.

Nyazifa nyingine ndani ya Chama hicho mjumbe wa kamati ya siasa ya wilaya ya Bukoba mjini na mjumbe wa mkutano mkuu wa taifa, nyazifa ambazo aliwahi kuzishika ni pamoja na kuwa mjumbe wa kamati ya utekelezaji wa jumuia ya wazazi wa wilaya ya Nyamagana iliyoko mkoani Mwanza, mjumbe wa kamati tendaji wa jumuia ya wazazi na katibu elimu na uchumi na malezi wa kata ya Pamba jijini Mwanza.

Mwalimu Lubeiyuka ni mtumishi wa serikali, ni afisa elimu vifaa na takwimu katika halamashauri ya willaya ya Misenyi, mwalimu huyo ni msomi mwenye shahada ya uzamili ya elimu katika masaula ya utawala, mipango na sera ‘masters’.

Kwa sasa anaendelea kusoma shahada ya kwanza ya sheria kupitia chuo kikuu huria nchini, mwalimu ambaye amewahi kushika nyazifa nyingi za uongozi ambazo ni pamoja na urais wa serikali ya wanafunzi wa chuo kikuu huria kituo cha Kagera, mjumbe wa kamati ya ushauri ya chuo kikuu huria na waziri wa elimu wa chuo kikuu taifa.

Akitangaza vipaumbele vyake baada ya kuonyesha nia yake Lubeiyuka anasema akibahatika kuwa mbunge wa jimbo la Bukoba mjini atahakikisha anavunja makundi yanayochangia migogoro inayokwamisha maendeleo katika jimbo hilo.

Amesema migogoro katika jimbo hilo katika manispaa hiyo inayokwamisha maendeleo kuwa inachangiwa na baadhi ya wanaotaka kugang’ania nafasi za uongozi kwa hisia kwamba wanaobuni mipango ya maendeleo watanyang’anya tonge mdomoni.

Lubeiyuka anasema kuwa hakuna kiongozi yoyote anayeweza kuleta maendeleo kwa juhudi zake binafsi, anasema maendeleo yanaletwa na juhudi ya pamoja, “ukiona mtu anataka kuwaletea maendeleo wananchi maendeleo kwa kutumia juhudi zake binafsi ujue huyo anataka kuwaweka mfukoni mwake” anasema.

Akizungumzia suala la elimu amnasema kuwa katika jimbo la Bukoba mjini akiwa mbunge atahakikisha anachagua shule 2 za sekondari za kata, anasema katika shule hizxo kwa kushirikiana na wadau atahakikisha anajenga vyumba vya madarasa ya kidato cha tano na sita.

Anasema atafanya hivyo ili kuwaongezea nafasi wanafunzi katika jimbo hilo wanaofaulu vizuri masomo yao ya kidato cha nne na kukosa nafasi ya kujiunga na kidato cha tano kutokana na uchache wa shule za sekondari za serikali zilizoko hapa nchini.

Lubeiyuka anasema iwapo atakuwa mbunge wa jimbo la Bukoba mjini pia anatarajia kuanzisha mfuko wa jimbo. Anasema mfuko huo utawahudumia zaidi watoto wanaofaulu wanaofaulu vizuri masomo yao ya elimu ya msingi ambao wazazi wao wana uwezo mdogo kiuchumi.

Katika hatua nyingine amesema mfuko huo utasadia kuboresha mazingira mazuri ya walimu ambapo utakuwa ukitumika kutoa zawadi kwa walimu ambao wanafunzi wao wanafnya vizuri na utatumika kufanya kazi ya kuwazadia wanafunzi wanaofaulu vizuri.

Mtangaza nia huyo huyo ameahidi kufanya mkakati wa kutengeneza ajira zisizo rasmi kwa vijana zitakazowawezesha kujiajiri wenyewe badala ya kuwa tegemezi ndani ya jamii, amesema vijana wanatengenezewa ajira wanakuwa wanajiepusha na vitendo vinavyojiingiza ambavyo ni pamoja na uzuruuaji.

Anasema katiia jimbo la Bukoba mjini vijana wamesahalika kabisa na ndio maana wakati mwingine unakuta wanashabikia vyama vya upinzani ambavyo haviwezi kuwapa manufaa, anaendelea kusema kuwa katika kutengeneza ajira ya vijana kuwa atashirikiana na wadau mbalimbali.

Lubeiyuka anasema ni vigumu kabisa mtu kutengeneza ajira ya vijana kwa kutumia fedha ya mtu binafsi anayoitoa toka  mfukoni, anasema kutengeneza ajira ya vijana kunahitaji nguvu ya pamoja, anaendelea kusema mtu anayetengeneza ajira kwa vijana kwa kutumia fedha yake ya mfukoni anakuwa anatengeneza chuki kwa kuwa ajira ya fedha ya mfukoni haiwezi kumfikia kila kijana kwa maana hiyo ni lazima itolewe kwa ubaguzi.

Ameahidi kuimarisha mshikamano ndani ya CCM, na pia ameahidi kushirikiana na viongozi wa chama hicho katika suala zima la kutoa maamuzi yanayohusiana na masuala ya maendeleo yanayogusa maslahi ya wananchi, anasema yeye atakuwa na tofauti na wabunge wengine.

Mtangaza nia huyo anasema atahakikisha anatafuta ufumbuzi wa migogoro ambayo imeikumba manispaa ya Bukoba ambayo imekwamisha miradi mbalimbali ya maendeleo iliyokuwa inagusa maslahi ya wananchi ambayo ni pamoja na ujenzi wa soko kuu la Bukoba, ujenzi wa standi kuu ya mabasi ya Kyakailabwa na upimaji wa viwanja wa viwanja 5,000.

Anasema endapo akichaguliwa hataendekeza majungu, atakuwa na chuki na hatatukana watu ,badala yake atafanya kazi ya kuwatumikia wananchi kwa uaminifu na kwa uadilifu mkubwa hadi pale atakapowavusha,. “uwezo wa kuongoza ninao, nia ya kuongoza ninayo na karama ya kuongoza ninayo na sina doa lolote” anasema.

Lubeiyuka anasema kamwe hatatoa ahadi ambayo atashindwa kuitekeleza sambamba na wabunge ambao wamepita katika jimbo la Bukoba mjini ambao walishindwa kutimiza ahadi zao,anasema  hakuna mtu anayeweza kutamba kuwa jimbo hili amelitoa mbali, “ jimbo hili lilikuwepo na wabunge wengi wamepita na wamefanya mengi, anayetamba kuwa jimbo amelitoa mbali anawadanganya wananchi kwa lengo la kujitafutia umaarufu”anasema.

Anasema  siasa za kuwalaghai wananchi kwa kitu wanachokiona kwa macho zimepitwa na wakati, mtu  mwenye nia ya kuwatumia wananchi ni lazima atangulize ukweli ili wananchi waupime na wautolee maamuzi, “nafasi ya ubunge haitaki majaribio” anamaliza.

Baadhi ya wananchi walioongea juu ya mtangaza nia huyo wanasema, anafaa kuwania kito cha ubunge katika jimbo la Bukoba mjini kwa kuwa ni msomi mzuri, mtu mwenye uelewa na mchapakazi, Idrisa Bingileki ni mkazi wa kata ya Kashai ambaye anasema mtangaza nia huyo ndiye chaguo la wengi kulingana na hali ya upinzani toka kwenye vyama vingine vya siasa.

Bingileki anasema jimbo la Bukoba mjini linahitaji mgombea mwenye mvuto kama Lubeiyuka, anasema Mwalimu huyo anapendwa na lika zote,” tumechoka na siasa za matusi zinazotolewa na baadhi ya viongozi tunaowachagua, nafasi za ubunge sio za urithi sasa ni wakati wa kufanya mabadiliko” anasema.

“Hatudanganywi tena huu ni wakati wa kuchambua pumba na mchele, nawashauri CCM wasifanye kosa, wakiamuangusha Mwalimu Lubeiyuka watakuwa wanafanya kosa kubwa ambalo watalijutia, vijana wana usongo mkubwa na wana siri kubwa wamepania kufanya maajabu katika uchaguzi wao, chonde… chonde msituletee mgombea ambaye hauziki” anamaliza.




TUME YA UCHAGUZI NCHINI YAONGEZA IDADI YA MAJIMBO HADI KUFIKIA 265

MAJIMBO MAPYA 26 YA UCHAGUZI BAADA YA KUGAWANYWA

NAMBA JIMBO JIPYA HALMASHAURI MKOA
1 Mlimba Kilombero Morogoro
2 Kibamba Manispaa ya Kinondoni Dar es Salaam
3 Handeni Mjini Handeni Tanga
4 Makambako Mji Makambako Njombe
5 Bitiama Wilaya Butiama Mara
6 Tarime Mini Tarime Mara
7 Nanyamba Nayamba Mtwara
8 Tunduma Tunduma Mbeya
9 Nsimbo Wilaya ya Nsimbo Katavi
10 Kavuu Wilaya ya mpimbwe Katavi
11 Geita Mjini Geita Geita
12 Mafinga Mjini Mafinga Njombe
13 Kahama Kahama Shinyanga
14 Ushetu Ushetu Shinyanga
15 Nzega Mjini Nzega Tabora
16 Kondoa Mjini Kondoa Dodoma
17 Newala Mjini Newala Mtwara
18 Mbulu Mjini Mbulu Arusha
19 Bunda Mjini Bunda Mara
20 Ndanda Wilaya ya Masasi Mtwara
21 Mbagala Manispaa ya Temeke Dar es Salaam
22 Vwawa Wilaya ya Mbozi Mbeya
23 Manonga Wilaya ya Igunga Tabora
24 Madaba Wilaya ya madaba Ruvuma
25 Ulyankulu Wilaya ya Kiliua Tabora
26 Mbinga Mjini Mji wa Mbinga ruvuma

MGOMBEA NAFASI YA URAIS KUPITIA CCM APATIKANA NI JOHN POMBE MAGUFULI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Dkt. John Pombe Magufuli, baada ya kutangazwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, katika uchaguzi uliofanyika Jana Julai 11, 2015 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM (Dodoma Convition Centre), uliopo Mjini Dodoma. Dkt. Magufuli ameibuka mshindi kwa jumla ya kura 2104, wakati wapinzani wake, Balozi Amina Salun Ali akipata kura 253 na Dkt. Asha-Rose Migiro akipata kura 59.


Wednesday, July 08, 2015

Experts to deliberate solutions to ‘brain drain’ in East Africa’s healthcare industry


 
Medic East Africa, the largest healthcare event in the East Africa region, will take place from 1-3 September 2015 in Kenya
 
The migration of health workers from countries of East Africa presents a critical challenge to the provision of healthcare. It is a growing concern that urgently needs to be addressed. The Healthcare Management Conference at Medic East Africa, supported by the Kenyan Medical Association, will provide 10 CPD points for all healthcare professionals who attend. The conference will feature some of East Africa’s prominent figures in the healthcare industry and further discuss the issue of ‘brain drain’ in East Africa.
 

Medic East Africa (http://www.mediceastafrica.com) is the largest healthcare event in the East Africa region and will take place from 1-3 September 2015 at the Oshwal Centre, Nairobi, Kenya. The event will showcase the very latest medical breakthroughs and technological developments in healthcare, and feature the leaders in the healthcare industry in Kenya and East Africa.
 
According to Dr James Mwanzia, Chief of Party Funzo Kenya, IntraHealth (USAID), “In order for East African countries to achieve Universal Health Coverage, we must ensure an adequate workforce in terms of their availability, accessibility, acceptability and quality. We must, therefore, seriously address the issue of migration of health workers.”
 
Currently, the retention rate of healthcare workers in East Africa is a lot less than the World Health Organisation (WHO) recommendations. The population ratio for all cadres is significant, and the emigration only worsens the situation.
 
“Certain retention strategies can be put in place to address the loss of medical talent such as scaling up the training of nurses and clinical officers, continually investing in staff recognition and motivation, improving human resources management policies, practices, governance, using salary survey results and recommendations to review their structures, staff motivation, retention, and teamwork, and institutionalizing staff exit feedback and acting on issues,” says Dr Mwanzia.
 
More than 250 healthcare and medical laboratory companies will showcase their products and services to more than 2,500 attendees during the three-day Medic East Africa exhibition. The exhibition will host leading healthcare companies such as Alvo Medical, Hill-Rom, Medel, Mindray, Olympus, and more.